sw.cartoon

Sinodi La Amazon: Bikra Maria Alimwambia Mtakatifu Bridget Kwamba Papa Atakayetupilia Mbali useja, Ataenda Jahanamu.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsDgykwtpshg

127
sw.news

Francis Alitaka Barua Iliyopiga Marufuku Ekaristi Kwa Waprotestanti Kuwa "Siri"

Edward Pentin alidhibitisha ripoti kwamba Shirika la Mafundisho ya Imani limetupilia mbali pendekezo la Maaskofu Wajerumani kuwapa Waprotestanti Ekaristi [ingawaje hili ni jambo la kawaida nchini humo].
Aliyempa Pentin habari hizo aliongeza kuhusu suala hili, hakuna "tofauti" kati ya Askofu Mkuu Ladaria na mtangulizi wake Kadinali Gerhard Müller.
Pentin amegubdua kwamba "Papa anaitaka barua [inayopiga marufuku pendekezo hilo] ibaki kuwa siri kwa sababu zisizojulikana".
Picha: © European Parliament, CC BY-NC-ND, #newsNmaxqrapam

221
oarielvillar

Familia Ingalls - T01 - Episodio Piloto Parte 2
Familia Ingalls - Temporada 1 - Episodio Piloto Parte 2

49:53
elfu 47
Videos para ver en Familia ameshirikisha hii

Para ver en familia

+54 2344476927 ameshirikisha hii

Me Encanta este capítulo.

ig.news

Ozo: Pope Francis juru igbu ikpere na ihu ihe di nso

Pope Francis mere nmenme Corpus Christi na basilica nke Saint John Lateran. Nke bu nke mbu yaka agbanwere nmenme sita n'ubochi Thursday gaa na Sunday. Na ozi ya, Pope Francis kporo oriri nso dika nri di nwayo kwesiri ina akpoghachi nmuo ulo.
O juru irube isi mgbe o na-agosi oriri nso a dika emere ya ka oha hu ya. Osoghikwa mee ngaghari ma omechiri ya na Santa Maria Maggiore, ozo kwa osekwughi n'iri chineke.
#newsTxatxpswnn

113

Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!

Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!
Katika hali ya kutokuwa na uhakika na huzuni, mwangaza wa mwisho wa maisha ya papa mmoja unaashiria uwasili wa haraka wa mwingine – kama alivyokumbuka Mtakatifu Yohani Paulo II katika nyakati zake za mwisho. Papa Bergoglio, ambaye amewekwa chini ya utawala unaoongozwa na kardinali wenye utata – baadhi yao kujitajia “antipapa” (Kardinali Martini) na wengine ambao wamekubali kuwa walikuwa wa kundi linalojulikana kama “mafya takatifu”, yaani Kikundi cha Sankt Gallen (Kardinali Danneels) – amekumbwa na hali mbaya kiasi kwamba uvumi kuhusu uwezekano wa kuaga kwake duniani umeanza kusambaa.
Wakati huo huo, Idara ya Mawasiliano ya Vatikani inaendelea kutoa taarifa zisizo kamili na zilizo na upendeleo. Je, lengo ni lipi? Labda ni kuwafanya waumini wabaki katika hali ya kutokuelewa, kulinda maslahi ya ndani, au tu kuhifadhi uhuru wa kuchukua hatua mbele ya uwezekano wa kuondoka kwa Bergoglio, labda kupitia kukatishwa kwa madarakani au kwa sababu ya …Zaidi

37
sw.cartoon

Theluji kule Roma Mwisho wa Februari.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsIcgbsutrfr

145
sw.news

Chuo CHa Vatikani Cha Maisha Chavamia Human Life International

Askofu mkuu wa Vatikani Vincenzo Paglia, ambaye ni rais wa Chuo cha Maisha,,anaona jukumu la dharura la kuoanua maono ya pro-life. Aliambia mtandao wa cruxnow.comkwamba kuwa mwanachama wa pro-life ni jambo ambalo pia linahusu mazingira, uchafuzi, wakongwe na ukandamizaji wa watoto.
Paglia alilipuuza mojawapo ya shirika la kifahari la Kikatoliki la pro-life, "Human LifeInternational, kwa mfano, hueleza kazi yake kama ambayo hupingana na "maovu ya uabyaji, upangaji uzazi, kifo cha huruma almaarufu euthanasia, na kufanywa upya kwa ndoa,' lakini wanakosa kutaja biashara ya silahandogo na adhabu ya kifo (hivi sasa kuna takriban watu 3,000 waliohukumiwa kifo)."
Paglia alisahau kutaja kuwa shirika la Human Life International halina mfumo wa kuwasaidia wachungaji walio na kichaa.
Picha: Vincenzo Paglia, #newsLhrfhpsbcn

65
oarielvillar

Familia Ingalls - T01 - Episodio Piloto Parte 1
Familia Ingalls - T01 - Episodio Piloto Parte 1

47:16
elfu 14
Videos para ver en Familia ameshirikisha hii

Para ver en familia

HP Y GC

Chapelet au Karmel

25:51
27
Guntherus de Thuringia

instagram.com/reel/DW5AYUrjByE/
David Icke

05:02
12
RAFAEL MEDINA MEDINA

Muujiza wa Ekaristi uliotokea wakati wa Misa iliyoadhimishwa na Askofu Claudio Gatti, huko Roma, Italia

Kurasa 6
117
sw.cartoon

Kadinali Marx Alitoa Dokezo la Kubariki Ndoa Bandia za Mashoga "Hatua kwa Hatua"
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsVrtmkgfnbg

76
sw.news

Je Mlo Wa Francis Katika Kanisa Kuu Ni "Adhimisho Kuu Zaidi La Ukarimu"? Na Padre Reto Nay

Kituo cha redio cha Radio Vatican kilimhoji Padre Antonio Spadaro katika juhudi za kuhalalisha mlo wa Francis katika Kanisa. Kulingana na Spadaro, "kuwa Papa Francis alishiriki mlo katika jumba hili Takatifu ni adhimisho kuu zaidi la ukarimu na, hivyo basi, kanuni za kimsingi za Ukristo."
Iwapo huu ni ukweli, basi kila Kanisa linastahili kufanywa hoteli, hospitali au bweni. Huenda hata mtu akauliza iwapo ni halali kuwa na Kanisa ambalo ni Kanisa tupu
Spadaro anafaa asome kinachozungumziwa na kitabu cha Vitendo vya Mitume 6,2.
#newsXnjpajjbgn

175
carlos padila

NUEVA MISA CVII - MALACHI

159
Denis Efimov

Así es.

instagram.com/reel/DWvm20SDMsR/
David Icke

02:35
16
sw.cartoon

“Gaudete et Exsultate” Ya Francis Haina Chochote Ambacho Tayari Hajakisema Au Kukiandika.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsSqznercwtq

359
sw.news

Maaskofu Wa Uswisi: Kufunguliwa Kwa Msikiti ni "Siku Ya Furaha"

Mtandao wa habari wa Maaskofu wa Uswisi "kath.ch" lasema kuwa kufunguliwa kwa msikiti huko Wil, Uswisi, ni siku ya furaha. Kwenye makala aliyochangia, Bettina Flick, ambaye ni msaidizi wa masuala ya uchungaji katika dayosisi ya Mtakatifu Gall anasifu sehemu ya msikiti ambayo huwatenganisha watoto na wanawake, na wanaume na kuongeza kuwa: "Huko, watoto watafahamishwa Imani yao, na pengine watapata nguzo katika Uislamu na kuimarishwa, na mtazamo wenye upana na uvumilivu." Kinaya kilicoko ni kuwa Wil, pia kuna kanisa kubwa na shule ya Jumuiya ya Mtakatifu Pius wa Kumi ambayo kwa mara nyingi hushutumiwa na kath.ch.
Picha: © Kenan Šabanović, CC BY-NC-ND, #newsCayzpojibb

77